Habari yako msomaji wangu,natumaini upo salama,leo nataka nizungumzie maswali ambayo unaweza kujiuliza kabla ya kuingia kwenye mahusiano,unashauriwa kuwa kabla hujaingia kwenye mahusiano lazima ujue kwanin unataka mahusiano...je nin kinakupeleka kwa huyo..mtu..je sababu amekusumbua muda mrefu..au huruma...au alikupa vitu..au umevutiwa na mwonekano wake...unahitaji kutulia...ni bora ukawa single kwa muda kuliko kukimbilia kuwa na mtu...maana huwa nasema siku zote... *usipokuwa makini utaomba bora ukutane na simba kuliko mwanaume*
Tuesday, April 9, 2019

JIULIZE MASWALI HAYA KABLA HUJAINGIA KWENYE MAHUSIANO
Habari yako msomaji wangu,natumaini upo salama,leo nataka nizungumzie maswali ambayo unaweza kujiuliza kabla ya kuingia kwenye mahusiano,unashauriwa kuwa kabla hujaingia kwenye mahusiano lazima ujue kwanin unataka mahusiano...je nin kinakupeleka kwa huyo..mtu..je sababu amekusumbua muda mrefu..au huruma...au alikupa vitu..au umevutiwa na mwonekano wake...unahitaji kutulia...ni bora ukawa single kwa muda kuliko kukimbilia kuwa na mtu...maana huwa nasema siku zote... *usipokuwa makini utaomba bora ukutane na simba kuliko mwanaume*
Tags
# Uhondo kitandani
Share This
About Utundu Kitandani
Uhondo kitandani
Labels:
Uhondo kitandani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment