Kwa mtazamo wangu wa kufikiri nahisi sisi wanawake ndo tunaotakiwa kubadilika na kuwa na msimamo,laiti km wanawake wote tungekuwa na misimamo na kujitambua,tusingesababishiana maumivu , Mwanamke kabla ya kumkubali mwanaume inabidi ujiridhishe kwanza,mtu anaisaliti ndoa yake nawe mwanamke upo tu unafurahia? Unajua kabisa huyu ni mume wa mtu umemng'ang'ania tu! Jamani tuanze kwanza kuoneana huruma sisi Kwa sisi,mwanaume ukimkatalia hawezi kukulazimisha,,, ni tamaa tu tunaziendekeza then akikuacha unakuja lalamika umeachwa,tuamue mamoja,hawa wanaume hawatatusumbua,sisi wenyw ndo chanzo cha matatizo yetu,,.
Tuesday, April 9, 2019

WANAWAKE SIMAMIENI MISIMAMO NA KUBADILI MITAZAMO
Kwa mtazamo wangu wa kufikiri nahisi sisi wanawake ndo tunaotakiwa kubadilika na kuwa na msimamo,laiti km wanawake wote tungekuwa na misimamo na kujitambua,tusingesababishiana maumivu , Mwanamke kabla ya kumkubali mwanaume inabidi ujiridhishe kwanza,mtu anaisaliti ndoa yake nawe mwanamke upo tu unafurahia? Unajua kabisa huyu ni mume wa mtu umemng'ang'ania tu! Jamani tuanze kwanza kuoneana huruma sisi Kwa sisi,mwanaume ukimkatalia hawezi kukulazimisha,,, ni tamaa tu tunaziendekeza then akikuacha unakuja lalamika umeachwa,tuamue mamoja,hawa wanaume hawatatusumbua,sisi wenyw ndo chanzo cha matatizo yetu,,.
Tags
# Uhondo kitandani
Share This
About Utundu Kitandani
Uhondo kitandani
Labels:
Uhondo kitandani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment