FAIDA ZA MASIKILIZANO KWENYE MAHUSIANO - Utundu kitandani

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 12, 2019

FAIDA ZA MASIKILIZANO KWENYE MAHUSIANO


Masikilizano huleta maelewano thabiti yanayopelekea kudumishwa kwa penzi,,,,mapenzi hayahitaji ujuaji uliopitiliza bali yanahitaji upeo ambao utaruhusu mawazo yenu wote yawapeleke njia ambayo ni sahihi,,,usawa kwenye mapenzi ni sahihi ili isije mmoja akaelemewa na mzigo halafu akakinai mapenzi,,,,,hebu ishini kwa kuongozwa na upendo na kila mmoja aweke tamaa pembeni ili mfikie malengo yenu mapema.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages