KAMA HAUJAWEKA HII KATIKA NDOA BASI SAHAU - Utundu kitandani

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, August 24, 2019

KAMA HAUJAWEKA HII KATIKA NDOA BASI SAHAU

Lazima uamini kwamba ndoa yenu itadumu na hakuna kitu kinaitwa talaka na talaka haitakubalika kamwe.   

Ni muhimu sana ujiamini kwamba mwenza wako (mume wako au mke wako) anakupenda sana kama wewe unavyompenda yeye hata kama haoneshi kwamba anakupenda ila amino kwamba anakupenda sana ndio maana amekuchagua we were. Fahamu hivyo na amini hivyo.   

KAna ukiweka hii katika ndoa yako, huwezi kuyumbishwa n   a upepo wa mashaka na hofu wakati kunajitokeza kutoelewana. Kwa njia hii itakuwa rahisi kuirudisha ndoa yako kwenye mstari.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages