Habari yako msomaji wangu,, leo naomba nigusie jambo hili,,unapokuwa katika mahusiano maana yake mpo wawili na kila mmoja anahitaji kitu toka kwa mwenzake,,ba upendo wa kweli haujitazami peke yake,,vile unapenda hudumiwa basi hudumia na mwenzako,,hivyo si kila wakati unapaswa kupata kile unachokitaka wewe,,wakati mwingine ni lzima kusikiliza na upande mwingine na kuwa tayari kutoa au kukitoa unachokitamani ili kumridhisha mwenza wako,,hata kama hutaki kufanya hivyo.
Wednesday, May 15, 2019

Home
Uhondo kitandani
RAHA YA MAHUSIANO NI KUJUA KUWA MPO WAWILI NA KILA MMOJA KUTIMIZA WAJIBU KWA MWENZAKE
RAHA YA MAHUSIANO NI KUJUA KUWA MPO WAWILI NA KILA MMOJA KUTIMIZA WAJIBU KWA MWENZAKE
Habari yako msomaji wangu,, leo naomba nigusie jambo hili,,unapokuwa katika mahusiano maana yake mpo wawili na kila mmoja anahitaji kitu toka kwa mwenzake,,ba upendo wa kweli haujitazami peke yake,,vile unapenda hudumiwa basi hudumia na mwenzako,,hivyo si kila wakati unapaswa kupata kile unachokitaka wewe,,wakati mwingine ni lzima kusikiliza na upande mwingine na kuwa tayari kutoa au kukitoa unachokitamani ili kumridhisha mwenza wako,,hata kama hutaki kufanya hivyo.
Tags
# Uhondo kitandani
Share This
About Utundu Kitandani
Uhondo kitandani
Labels:
Uhondo kitandani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment