Ushauri kwa usiku wa leo - Utundu kitandani

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 22, 2019

Ushauri kwa usiku wa leo

ILIYO SAMBAA USIKU WA LEO.

Usijenge urafiki na starehe wakati shida ni jirani yako, hakuna tuzo za ngono zaidi ya ukimwi. Jipange mtu wangu maisha magumu na umri haurudi nyuma, wazuri ni wengi lakini yupo umpendae zaidi ya wote onesha kumjali, kumheshimu, kumthamini na kumuonesha yy ni wa pekee kwa kumwonesha upendo zaidi, kupenda mtu mmoja tu, usijifausijifanyeeumelaaniwa kuwa mzinzi MICHEPUKO SIO DIL BAKI NJIA KUU, Utajiingiza kwenye mtandao wa magonjwa!

Ungana na mimi kukomesha ngono zembe usiku huu.
EPUKA UKIMWI, HPV na Magonjwa mengine ya Zinaa.

"Usiku Mwema"
Bado Najikubali



1 comment:

  1. Hi my name is Nick from Belgium, please contact me with my email address So we talk

    ReplyDelete

Post Bottom Ad

Pages