Wanawake na wanaume tuko tofauti hasa inapokuja swala la LOVE ss huwa tnahitaji kufanyiwa vitu vingi kwa wakati mmoja of which haiwezekani lkn kwa mwanaume utajua ni wako pale tu atakapotimiza mambo matatu 1. Kukulinda(protection) 2. Respect ( heshima),na kukupa title(profess)- ana uwezo wa kukutambulisha kwa watu wake wa karibu kama mpenzi wake. Na wanaume huitaji pia vitu vitatu kutoka kwetu 1 uaminifu,sex,support. Hivyo mara nyingi inategemea na wewe vigezo ulivyojiwekea toka mwanzo mfano kuna mbinu huwa inashauriwa kwamba chkua siku tisini bila kmpa sex na kumpa standards zako akishindwa kufikisha izo siku bas sio wako lkn akiendelea kuwepo na akawa comfortable inawezekana akawa wako. Lkn pia njia nyingine ni ile ya kusali kabla ya kuanza mahusiano itakua vigumu kama hukuanza na sala alaf ukaanzia sala katikati ukategemea Mungu atakuonyesha huyo ndo wako, unapoanza na sala inakuepusha kktana na watu watakaourarua moyo wako ivo atakuletea mtu sahihi
Tuesday, April 9, 2019

TOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME KATIKA MAHUSIANO
Wanawake na wanaume tuko tofauti hasa inapokuja swala la LOVE ss huwa tnahitaji kufanyiwa vitu vingi kwa wakati mmoja of which haiwezekani lkn kwa mwanaume utajua ni wako pale tu atakapotimiza mambo matatu 1. Kukulinda(protection) 2. Respect ( heshima),na kukupa title(profess)- ana uwezo wa kukutambulisha kwa watu wake wa karibu kama mpenzi wake. Na wanaume huitaji pia vitu vitatu kutoka kwetu 1 uaminifu,sex,support. Hivyo mara nyingi inategemea na wewe vigezo ulivyojiwekea toka mwanzo mfano kuna mbinu huwa inashauriwa kwamba chkua siku tisini bila kmpa sex na kumpa standards zako akishindwa kufikisha izo siku bas sio wako lkn akiendelea kuwepo na akawa comfortable inawezekana akawa wako. Lkn pia njia nyingine ni ile ya kusali kabla ya kuanza mahusiano itakua vigumu kama hukuanza na sala alaf ukaanzia sala katikati ukategemea Mungu atakuonyesha huyo ndo wako, unapoanza na sala inakuepusha kktana na watu watakaourarua moyo wako ivo atakuletea mtu sahihi
Tags
# Uhondo kitandani
Share This
About Utundu Kitandani
Uhondo kitandani
Labels:
Uhondo kitandani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment