Mke wangu anapenda kuvaa vikuku wakati anatokana, huwa anapenda kuvaa miguu miwili, hili limekuwa tatizo kubwa kwangu kutokana na watu huwa wananipa maana mbaya ya mwanamke anayevaa vikuku viwili katika miguu yake.
Kila ninapomuuliza mke wangu uniambia anavaa kama urembo kama anavyovaa urembo mwingine, ndugu zangu nahitaji kujua maana yake na kama ina maana mbaya nifanye nini ili mke wangu aache kuvaa naomba ushauri wenu.
Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome
🔞Wakubwa tu: video kali zote na original app download chini
TAHADHARI WAKUBWA PEKEE NDIO WANARUHUSIWA KUBONYEZA HII LINK WATOTO KAA PEMBENI
No comments:
Post a Comment