MWANAMKE ANAVYOJISIKIA PINDI UNAPOMKUNA KISAWASAWA - Utundu kitandani

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 26, 2019

MWANAMKE ANAVYOJISIKIA PINDI UNAPOMKUNA KISAWASAWA

 MWANAMKE ANAVYOJISIKIA PINDI UNAPOMKUNA KISAWASAWA πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’• 🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌 πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’• 

mwanamke ni kiumbe ambaye yupo complicated kuliko mwanaume. mwanamke hua ni mtu wa kwenda na hisia na hua anaridhika kama akionyeshwa upendo na kujaliwa na kuonyeshwa kwamba yeye ndo kila kitu. tusiyaongelee haya sana, nataka tuongelee 

ANAVYOJISIKIA PINDI ANAPOTOMBWA. πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’• 

Kwanza, mwanamke anapotombewa ni kwenye UKE wake ambao umeumbwa rasmi kwa ajili ya kupitisha mboo, kutokana na muundo wake wa kua na utelezi unaoruhusu uume kuingia na kusugua bila kusababisha michubuko ukeni, na pia kwa jinsi misuli ya uke ilivyoumbwa inalinda mishipa ya damu isije ikachubuliwa kwa kuwa minene na yenye kulinda mishipa ya damu. mwanamke ukitaka kumridhisha kuna sehemu kadhaa ambazo ukiweza kucheza nazzo vizuri utafanikiwa kumridhisha mwanamke: matiti,shingo,miguu,kisimi(clitoris),G spot. 

viungo hivi si kwamba kwa wanawake wote vitamfanya ajisikie vizuri na kuridhishwa, kuna wengine hawasikii hamu ukiwachezea miguu, kuna wengine ukiwashika miguu wanasisimka sana na kua na hamu sana. lakini katika mambo yote, ukiwa na mwanamke inabidi uwe mdadisi na kujitahidi kumdadisi ni sehemu gani anazozipenda na akishikwa anasisimka zaidi, ukishagundua hivyo itakusaidia wewe mwanaume kumridhisha mwanamke wako. 

Ili kumtomba mwanamke, yakupasa kumuandaa kwa kumchezea vizuri viungo vyake ili kumfanya awe kwenye utayari wa kuruhusu mboo iingie ukeni mwake, na hii ni kuufanya uke wake uwe na maji ya kutosha yanayoteleza ili pindi unapoingiza uume wako usije mfanya asikie maumivu bali asikie raha na tamu iliyokubwa. ukishamchezea vizuri na akawa kwenye utayari, hapo inabidi ufanye mazungumzo nae na kumuuliza kama anahitaji mboo iingie kwa mda huo, maongezi ni ya muhimu. πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’• Pindi mwanaume anapoanza kutomba, mwanamke hua anajitahidi kujiweka katika mikao ambayo itamfanya ajisikie raha. jinsi anavyojisikia raha ni kama hivi: 

uke wake utakua na maji sana, na ili ajisikie raha atakua anataka mboo yako iibane uke wake ili isugue kuta zake vizuri, hapo ndipo atakapojisikia raha, kuna baadhi ya mikao mwanaume tu ndo anafaidi lakini mwanamke hafaidi, ila mkao ambao mboo ya mwanaume itakua imebanwa na uke, huo mkao utamfanya mwanamke afike kileleni kwakua mboo itakua inasugua sehemu ya G SPOT ambayo ipo kwa ndani ya uke wake umbali wa sentimeter chache sana kutoka kwenye mlango wa uke, ukimuona mwanamke anaanza kuhema kihisia na kukwambia anasikia raha, ujue unamsugua sehemu ya G SPOT hivyo jitahidi usogeze mboo yako kwa mda eneo hilo.

 Hisia anayoisikia ni ya kama kutojielewa afanye nini yani ni hamu tamu sana kiasi kwamba anakua anashindwa afanye nini, na ndo maana baadhi au wengi wao wanawake hua wakiwa wanasikia raha sana wanaanza kuhangaika sana yani wanakua kama wanataka kuruka lakini hawawezi, kama wanataka kukushika lakini hawakushiki,. ukiona mwanamke wako yupo kwenye wakati huo, endelea kumtia vizuri na kwa kasi zaidi, ukifanya hivi itamfanya afike kileleni na kumfanya afurahie sana jinsi ulivyomtia. kusikia utamu kwa mwanamke hakujali mboo iwe kubwa sana, hata ikiwa wastani tu itamfanya afurahie tendo. pindi mboo inaposugua G SPOT ni kama mwanaume ukiwa unakaribia kumwaga mbegu zako, ile hamu unayoisikia ya kusisimka na tamu na furaha, ndiyo hiyo aisikiayo mwanamke pindi anapotombwa na mboo ikagusa G SPOT, ndo maana mboo ikisugua sana G SPOT kuna baadhi ya wanawake wanakojoa, ile hali ni kwamba umemfanya apate hamu sana kiasi kwamba ameshindwa zuia njia ya mkojo wake na hivyo kuanza kukojoa. utofauti wa mwanaume na mwanamke ni kwamba, mwanaume anaisikia ile tamu kwa muda ambapo akishakojoa basi mpaka aanze tena, ila mwanamke, ukiweza kugusa G SPOT yake vizuri, ataisikia hiyo tamu muda wote na ataweza fika kileleni mara nyingi mfululizo kwakua mboo bado inamsugua G SPOT yake na kumfanya aendelee kusikia hamu na hamu na tamu na tamu zaidi, wengine ikizidi muda mrefu hua wanaanza kulia, ndo hiyo kitu inayotokea baada ya kusikia raha sana. Kama una mwanamke wako, jitahidi kuongea nae na kujua pindi anaposikia utamu raha ya kumtomba mwanamke wako asikie utamu hasaa umkune kwenye g spotπŸ‘ŒπŸ»upo kidumeeπŸ‘ŒπŸ‘ŒKAZI KWAKO 🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌 πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•chumba cha πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•MAHABAπŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages