Hamna kosa kubwa wadada mnalofanya kama kumwamini shosti yako,,,haijalishi mnaivana kiasi gani,,,unadhani unafanya vizuri kumwambia details za mahusiano yako,,yawe mema au mabaya,,HIVI unaanzaje kumsifia mwanaume fulani kwa shosti yako kuwa umempata mwanaume mzuri anayekupa mautamu kama yote,,,,anayekupeleka vilele vya milima yote,,,,hivi hamjui kuwa kuwa na hao shosti nao wanahitaji,,,,,na huenda wanakosa utamu kama unaoupata wewe,,,,,hivi unaanzaje kumsimulia shosti mabovu ya mwanaume wako?kwamba hana lolote,,hakufikishi na wala hana pesa na madhaifu mengine,,,,hujui wenzio wanaweza kubadilisha kibovu kwenda kizuri,,,mkiibiwa mnaanza kusema wanaume washenzi,,,haki ya nani,,adui wa kwanza wa mahusiano yako ni mdomo wako usiokuwa na breki.
Tuesday, June 11, 2019

MDOMO WAKO NI ADUI WA KWANZA KATIKA MAHUSIANO
Hamna kosa kubwa wadada mnalofanya kama kumwamini shosti yako,,,haijalishi mnaivana kiasi gani,,,unadhani unafanya vizuri kumwambia details za mahusiano yako,,yawe mema au mabaya,,HIVI unaanzaje kumsifia mwanaume fulani kwa shosti yako kuwa umempata mwanaume mzuri anayekupa mautamu kama yote,,,,anayekupeleka vilele vya milima yote,,,,hivi hamjui kuwa kuwa na hao shosti nao wanahitaji,,,,,na huenda wanakosa utamu kama unaoupata wewe,,,,,hivi unaanzaje kumsimulia shosti mabovu ya mwanaume wako?kwamba hana lolote,,hakufikishi na wala hana pesa na madhaifu mengine,,,,hujui wenzio wanaweza kubadilisha kibovu kwenda kizuri,,,mkiibiwa mnaanza kusema wanaume washenzi,,,haki ya nani,,adui wa kwanza wa mahusiano yako ni mdomo wako usiokuwa na breki.
Tags
# Uhondo kitandani
Share This
About Utundu Kitandani
Uhondo kitandani
Labels:
Uhondo kitandani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment