Nataka nigusie pia jambo hili,,,kwenye mapenzi kuna utaratibu,,,kuna kupenda na kutamani,,,,usimpende mtu kabla hujaandaa mazingira ya kutunza penzi lake,,ni bora ukamuacha awe single kuliko kumdanganya na kumfanya apoteze moyo wa kupenda kwasababu yako,,,,,wengi wamekataa tamaa na kutotamani kurudi tena katika mahusiano,,,,,onyesha upendo kama unampenda,,,,,,,kinyume na hapo mwachee,,,,tafuta wakuchezea.
Nataka nigusie pia jambo hili,,,kwenye mapenzi kuna utaratibu,,,kuna kupenda na kutamani,,,,usimpende mtu kabla hujaandaa mazingira ya kutunza penzi lake,,ni bora ukamuacha awe single kuliko kumdanganya na kumfanya apoteze moyo wa kupenda kwasababu yako,,,,,wengi wamekataa tamaa na kutotamani kurudi tena katika mahusiano,,,,,onyesha upendo kama unampenda,,,,,,,kinyume na hapo mwachee,,,,tafuta wakuchezea.
No comments:
Post a Comment